Kabwili anahatarisha nafasi ya Kakolanya Yanga - Mase Kaleby

Home Top Ad

Saturday, 8 December 2018

demo-image

Kabwili anahatarisha nafasi ya Kakolanya Yanga



Kabwini+-+masekaleby


Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera amesema golikipa Ramadhani Kabwili ataendelea kuanza katika kikosi cha kwanza kwa sababu katika mechi tatu za ligi alicheza hivi karibuni hakuna kosa alilofanya.

“Kabwili amecheza mechi tatu hajafanya kosa lolote kwa sababu gani tumuanzishe Kindoki kwenye mechi ya dhidi ya Biashara”-Mwinyi Zahera.

Kwa hiyo ndio kusema Kabwini ni No 1 Yanga kwa sasa?

No comments:

Post a Comment

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *