Waziri wa Afya wa Lebanon amesema vifo vilivyotokana na mlipuko Bandari ya Beirut jana vimefikia zaidi ya Watu 70 huku majeruhi wakivuka 4000, Waziri Mkuu wa Lebanon Hassan Diab ametangaza siku ya leo jumatano kuwa ni siku ya maombolezo kufuatia vifo hivyo.
Wednesday, 5 August 2020

WAZIRI WA AFYA LEBANON,(vifo vimefika zaidi ya 70)
Tags
# News
Share This
About mase kaleby
The purpose of this blog is to provide you with a great deal of information or information about the world, both the external and the inside as well as to give you or to teach you how to invest and to refresh you through the information, thank you very much and keep track of the content of this blog.
WAZIRI WA AFYA LEBANON,(vifo vimefika zaidi ya 70)
mase kalebyAug 05, 2020Chadema yaonywa kwa matumizi ya wimbo wa Taifa.
mase kalebyAug 05, 2020VIONGOZI WALIVYOINGIA NA KUSAINI MSIBANI KWA RAIS MSTAAFU MKAPA.
mase kalebyJul 24, 2020
Tags
News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment