Kylian Mbappe amekuwa mchezaji wa kwanza mwenye umri mdogo kutajwa kwenye kikosi bora cha FIFPro World XI - Mase Kaleby

Home Top Ad

Tuesday, 25 September 2018

demo-image

Kylian Mbappe amekuwa mchezaji wa kwanza mwenye umri mdogo kutajwa kwenye kikosi bora cha FIFPro World XI

mbape

KYLIAN MBAPPE: Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa na klabu ya Paris Saint-Germanin (PSG), Kylian Mbappe amekuwa mchezaji wa kwanza mwenye umri mdogo kutajwa kwenye kikosi bora cha FIFPro World XI akiwa na miaka 19, rekodi hiyo ilikuwa inashirikiliwa na mshambuliaji wa Argentina na klabu ya FC Barcelona, Lionel Messi.

No comments:

Post a Comment

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *